Jumatatu, 14 Agosti 2017

new video_ john de mkali

Cristiano Ronaldo apewa kadi nyekundu mechi ya El Clasico-john_de_mkali



Haki miliki ya picha Reuters
Image caption Cristiano Ronaldo alikosa mechi nyingi za kujiandaa kwa msimu baada ya kuchezea Ureno Kombe la Mabara
Cristiano Ronaldo alifunga bao lakini baadaye akafukuzwa uwanjani huku Real Madrid wakilaza Barcelona 3-1 katika Super Cup ya Uhispania, mechi ya mkondo wa kwanza.
Gerard Pique alijifunga kutoka kwa krosi ya Marcelo kabla ya Lionel Messi kusawazisha kupitia mkwaju wa penalti.

Mambo manane kuhusu kutumia mkono wa kushoto- john de mkali

Haki miliki ya picha PSCU
Image caption Rais Kenyatta na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu. Wote wawili hutumia mkono wa kushoto
Watu wengi duniani hutumia mkono wa kulia kwa shughuli nyingi na si ajabu kwamba vitu vingi huundwa kwa kuwafikiria wanaotumia mkono wa kulia.

Jumamosi, 12 Agosti 2017

Breaking News: RC Makonda Agoma Kuomba Msamaha Waandishi wa Habari--- john_de_mkali




Breaking News: RC Makonda Agoma Kuomba Msamaha Waandishi wa Habari
Katika mkutano uliondaliwa na jukwaa la wahariri Tanzania Jijini Dar es salaam kati ya wahariri na Wandishi wa habari, Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ametanka hadharani kuwa hatoomba msamaha na wala haitakuja kutokea.

Jumamosi, 26 Novemba 2016

Kutana na mwanamke mnene kuliko wote duniani… Ana uzito wa kilo 500. john de mkali

Kazi yangu ni kuhakikisha kila siku nakuletea habari mpya na uhakika popote ulipo mtu wangu na nimekula kiapo kwako kulitekeleza hilo na leo nimeipata hii kutoka nchini Misri kuhusu Mwanamke mnene kuliko wote duniani ambaye anatajwa kufikisha uzito wa kilo 500.

Tecno wameungana na Jumia kukupa ofa ya BlackFriday, Changamka ujishindie Vocha za Chakula. john de mkali

Tecno wanakuletea ofa  ya #BlackFriday kwa kushirikiana na Jumia ili kuhakikisha unafurahia kuwa mteja wa bidhaa za kampuni hizi mbili kwa muda mrefu. Wateja watafaidika kwa njia mbalimbali kupitia ushirikiano huu kuanzia kwenye huduma mpaka zawadi mbalimbali zitakazotolewa.

Alhamisi, 17 Novemba 2016

Wanahabari Watimuliwa kwa Bunduki Kesi ya Lema, Mahakama Yalionya Jeshi la Polisi. john de mkali

lemaArusha: Wakati askari polisi saba watatoa ushahidi mahakamani katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, Mahakama imetoa onyo kwa askari Polisi na Magereza wanaowasumbua waandishi wa habari na wananchi.

Faida 17 za Kufanya Mapenzi Salama Kwa Afya Yako. john de mkali

KujamianLakini, kuna
a (ama tendo la ndoa) ni moja ya mambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Ni ukweli usiofichika kwamba wengi wetu tungependa kuwa na mwenza ambaye mnaridhishana katika tendo la ndoa. Si hivyo tu, bali tendo hili huleta maelewano katika uhusiano wowote ule.

Unapenda Kufanya Mapenzi; Style 6 Za Kuifundi za Kumkuna Mpenzi Wako..! john de mkali

 “Ndugu wasomaji wangu, katika pitapita nyingi katika mitandao tofauti nikakutana na habari njema kama hii, nikizingatia pia wasomaji wengi hupenda sana elimu hii nikaamua kuchukua nafasi hii kuhakikisha unafikiwa na uhondo huu, napenda kukushirikisha kwani wengi waliopo katika mahusiano wanamengi sana yanayowakumba hasa katika kupeana tamu tamu za radha tofauti.

WhatsApp Video Call Tayari; La Kufanya Kuiwezesha Simu Yako. john de mkali

Hivi sasa mnamo tarehe ya jana 15/11/2016 simu nyingi zilipata updates mpya inayokuwezesha kupiga simu ya video kupitia WhatsApp.
whatsapp-video-calls
Mmiliki wa mtandao huo Bw. Mark Zucherberg kupitia ukurasa wake wa facebook aliandika kuwa “…sasa tunawaletea video call kupitia whatsapp, ikiwa simu ya sauti ya kawaida ilikuwa kwa haraka zaidi na ombi

Ajali ya basi la LA POWER TOOL. john de mkali

Basi ya kampuni ya LA Power Tool lililokuwa linatokea nchini Zambia kuja Tunduma limepata ajali mbaya na kuua abiria wote, ni abiria wawili tu ndio waliotoka salama, chanzo  cha ajali bado hakijajulikana.

MWANDISHI WA HABARI MCHAFU KULKO WOTE. john de mkali

Raphael Tenthani inasemekana kuwa ndiye mtangazaji mchafu zaidi kutokea duniani
Raphael mara zote utakazo kutana nae huwezi ukamkuta nadhifu , mara kwa mara utamkuta amevaa nguo zilizo chakaa na muda mwingine nguo zenye matobo au viraka

Mwanamke Subiri Uvuliwe, Usivue Mwenyewe. john de mkali

Kuna tabia fulani kwa baadhi ya wanawake mnapokua faragha kukimbilia kuvua nguo, badala ya kusubiri kuvuliwa na mpenzi wake.

Chereko Za Wimbo Wa SALOME Zamliza Saida. john de mkali

john de mkali
Anga la burudani nchini hivi sasa lipo kwenye msisimko wa tenzi ya Wasanii Diamond Platnumz na Raymond ambao wameachia songi la Salome, ambalo ni marejeo ya songi pendwa lililloimbwa mwaka 2000 na dada yetu wa Kihaya, Saida Karoli, liitwalo ‘Maria Salome’ almaarufu ‘Chambua kama karanga’..

Ijumaa, 19 Juni 2015

BREAKING NEWSssssss... Trafik agongwa na kufa papo hapo... john_de_mkali

Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari la mbuga za wanyama (tourism).
Ni baada ya dereva kusimamishwa na matrafik akakataa, ndipo
Trafiki wakapiga simu mbele, na alipofika
akakutwa askari wameweka kizuizi cha gar la polisi lakini hakusimama na ad
akawagonga. matrafik watatu wamepoteza maisha

Jumatano, 27 Mei 2015

Dizain hii beyonce anamchokoza mungu.. john de mkali


Mwanamuziki na mke wa jay z beyonce amewashangaza baadhi ya watu. Hii ni baada ya kuanzisha kanisa lake na kujiita kua yeye ndie yesu na mungu.


kanisa hilo litaanza kazi yake mapema mwaka huu na litaitwa National church of bey


na biblia yake ni tofauti na nyingne.



tuachie maoni yako.

Alhamisi, 16 Aprili 2015

Kumbe nay wa mitego ni Freemason...!!! john de mkali


Kama wewe ni msikilizaji wa nyimbo za mkali wa bongofleva Nay wa Mitego nina uhakika utakua umeisikia sana namba 966 ambayo huitaja sana kwenye mashairi yake lakini mpaka sasa hajawahi kusema ina maana gani.
Kwenye exclusive na millardayo.com juzi Nay alisema kuna siku tu atakuja kueleza maana ya hii namba pamoja na baadhi ya alama ambazo amekua akizitumia kwenye picha zake za video ambazo zimesababisha Mama yake mzazi kumuita na kutaka amweleze zina maana gani manake amekua akisikia watu wengi wakimuusisha  Mwanae na imani ya Freemason
 
Pamoja na kwamba wengi walianza kuzihusisha hizi alama na hii namba imani ya kuabudu Miungu, Nay amesema hayuko kwenye dhehebu lolote ambalo linaabudu Miungu, watu wavute subira iko siku atasema kila kitu ikiwemo mipango yake na hii namba ambayo inaonekana ameiandalia kitu kikubwa mpaka kulichukulia gari lake jipya.
Hii namba unayoiona hapa kwenye picha ya kwanza haijamuangukia bahati mbaya bali alifanya namna mpaka akaipata wakati wa kwenda kusajili gari lake kwenye mamlaka ya mapato Tanzania (TRA)

Alhamisi, 19 Februari 2015

Picha ya Wema Sepetu Aliyojibinua Tako Yaleta Vijimaneno, Wengi Wamtaka Aache Maisha ya Maigizo ..Soma Hapa john de mkali


Udaku Special Kutoka Insta: Leo nimepitia ukurasa wa Malkia wa Insta nikakutana na Picha hiyo ya Wema Akiwa ameegemea gari aliyopewa kama zawadi na Martin Kadinda siku ya Birthday yake huku akiwa amekibinua cha chini ya mgogo ..Baadhi ya watu wamemsifia na wengine kujaribu kumshauri ..Soma Comments hapo chini kutoka ukurasa huo :

Kijana Ajiua kwa Kujinyonga Baada ya Matokeo ya Kidato cha nne Kumjia Vibaya. john de mkali

Kijana mmoja ajulikanaye kwa jina la John Maduhu wa kijiji cha Pandagichiza, wilaya ya Shinyanga vijijini amekatisha maisha yake kwa kuamua kujinyonga baada ya matokeo ya kidato cha nne kumjia vibaya...

'Jack wolper Kanipora Mpenzi Wangu ' Mwanaume Alalamika, Asimulia Alivyoporwa ...john de mkali

MSANII wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper amedaiwa kumchukua mpenzi wa msanii wa filamu ambaye pia ni mpigapicha, Farid Jamal ‘Farid Uwezo’  aliyejulikana kwa jina moja la Vivian.