john de mkali
Anga la burudani nchini hivi sasa lipo
kwenye msisimko wa tenzi ya Wasanii Diamond Platnumz na Raymond ambao
wameachia songi la Salome, ambalo ni marejeo ya songi pendwa
lililloimbwa mwaka 2000 na dada yetu wa Kihaya, Saida Karoli, liitwalo
‘Maria Salome’ almaarufu ‘Chambua kama karanga’..

.jpg)










