Tatoo ya Naomi Michelle Coleman inaonyesha picha ya Budhaa ambaye ni Mungu waumini wa dini ya Budhaa.
BLOG HII NI KWA MATUKIO NA HABARI ZA NDANI NA NJE YA NCHI,SKENDO, MAHUSIANO, VITUKO, AFYA NK kama una habari piga 0742370795
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo habari za nje. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo habari za nje. Onyesha machapisho yote
Jumatatu, 14 Agosti 2017
Ijumaa, 5 Septemba 2014
Jumamosi, 26 Julai 2014
john de mkali; Mwanamke wa Sudan aliehukumiwa kifo kwa kuolewa na Mkristo amewasili Italia.
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Pope Francis Alhamisi ya July 24 2014 nchini Italia amekutana na Meriam mwanamke wa Sudan ambae alihukumiwa kunyongwa nchini Sudan kwa kosa la kuolewa na mume Mkristo mwaka 2011.
Jumamosi, 24 Mei 2014
john de mkali; Al Shabaab washambulia Bunge Somalia huku wabunge wakiwa ndani kwa mkutano….!!
Kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Al Shabaab limeshambulia bunge la Somalia na kusababisha vifo vya watu kadhaa mjini Mogadishu.
john de mkali; kim atupia gauni la milion 33
Ijumaa, 25 Aprili 2014
JOHN DE MKALI; BOMU LALIPUKA NA KUUA HUKO KENYA.
BOMU JINGINE LALIPUKA KENYA NA KUUWA

Alhamisi, 24 Aprili 2014
Jumatano, 23 Aprili 2014
john de mkali; SABABU ZA UGOMVI BAINA YA MAPACHA WA P-SQUARE ZAFAHAMIKA,

JOHN DE MKALI; AL-SHAABAB WATOA TISHIO JINGINE LA KUILIPUA KENYA

kwenye kanda hiyo msemaji wa alshabaab aliye jifunika
uso anasema
john de mkali; ndugu wanaokula nyama za maiti wakamatwa.
Watu wawili wanaotuhumiwa kula nyama za
binadamu wamekamatwa baada ya kichwa cha mtoto wa miaka mitatu, kukutwa
katika nyumba wanayoishi nchini Pakistan.
Polisi waligundua tukio hilo la kutisha na kuwakamata watuhumiwa Mohammad Arif Ali (35) na mdogo wake Mohammad Farman Ali mwenye miaka 30.
Polisi waligundua tukio hilo la kutisha na kuwakamata watuhumiwa Mohammad Arif Ali (35) na mdogo wake Mohammad Farman Ali mwenye miaka 30.
Jumanne, 22 Aprili 2014
JOHN DE MKALI; DRAKE AMNUNULIA RIHANNA PETE YENYE THAMANI YA SHILINGI MILION 68.

Kwa mujibu wa gazeti la Daily Star, chanzo kimoja kimeeleza kuwa Drake amemnunulia Rihanna zawadi ya pete ya almasi yenye rangi ya njano yenye thamani ya $42,000 (sawa na 68,712,000/-).
johnde mkali; OMBI LA JUSTIN BIEBER KUFUKUZWA MAREKANI KWA KUWA ANA TABIA MBAYA LAFELI
Hatimaye ikulu ya Marekani imejibu ombi
lililotolewa na raia wa Marekani kwa Rais Barack Obama kumfukuza Justin
Bieber nchini humo, ombi lililopata sahihi takribani 275,000 ndani ya
siku 30 na kuvuka kiwango cha sahihi 100,000 zilizotakiwa kumfanya rais
alifikirie.
john de mkali:: MSEMAJI WA P-SQUARE AONGEA KUHUSU TETESI ZA KUVUNJIKA KWA KUNDI.

Habari hizo zilichochewa na tweet ya kaka yao mkubwa ambaye ni meneja wao, Jude Okoye iliyootafsiriwa na mitandao hiyo kuwa huenda
john de mkali;NAHODHA WA MELI ILIYOZAMA KOREA AKAMATWA.
Nahodha wa kivuko cha Korea Kusini
kilichozama na kusababisha watu zaidi ya 300 kutojulikana walipo
amekamatwa Jumamosi (19.04.2014) kwa tuhuma za uzembe na kuwatelekeza
watu waliokuwa kwenye shida ya kuhitaji msaada. Wapelelezi
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)









