Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo news. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo news. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 12 Agosti 2017

Breaking News: RC Makonda Agoma Kuomba Msamaha Waandishi wa Habari--- john_de_mkali




Breaking News: RC Makonda Agoma Kuomba Msamaha Waandishi wa Habari
Katika mkutano uliondaliwa na jukwaa la wahariri Tanzania Jijini Dar es salaam kati ya wahariri na Wandishi wa habari, Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ametanka hadharani kuwa hatoomba msamaha na wala haitakuja kutokea.

Alhamisi, 17 Novemba 2016

Wanahabari Watimuliwa kwa Bunduki Kesi ya Lema, Mahakama Yalionya Jeshi la Polisi. john de mkali

lemaArusha: Wakati askari polisi saba watatoa ushahidi mahakamani katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, Mahakama imetoa onyo kwa askari Polisi na Magereza wanaowasumbua waandishi wa habari na wananchi.

Ijumaa, 19 Juni 2015

BREAKING NEWSssssss... Trafik agongwa na kufa papo hapo... john_de_mkali

Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari la mbuga za wanyama (tourism).
Ni baada ya dereva kusimamishwa na matrafik akakataa, ndipo
Trafiki wakapiga simu mbele, na alipofika
akakutwa askari wameweka kizuizi cha gar la polisi lakini hakusimama na ad
akawagonga. matrafik watatu wamepoteza maisha