Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mapenzi. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mapenzi. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 17 Novemba 2016

Faida 17 za Kufanya Mapenzi Salama Kwa Afya Yako. john de mkali

KujamianLakini, kuna
a (ama tendo la ndoa) ni moja ya mambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Ni ukweli usiofichika kwamba wengi wetu tungependa kuwa na mwenza ambaye mnaridhishana katika tendo la ndoa. Si hivyo tu, bali tendo hili huleta maelewano katika uhusiano wowote ule.

Unapenda Kufanya Mapenzi; Style 6 Za Kuifundi za Kumkuna Mpenzi Wako..! john de mkali

 “Ndugu wasomaji wangu, katika pitapita nyingi katika mitandao tofauti nikakutana na habari njema kama hii, nikizingatia pia wasomaji wengi hupenda sana elimu hii nikaamua kuchukua nafasi hii kuhakikisha unafikiwa na uhondo huu, napenda kukushirikisha kwani wengi waliopo katika mahusiano wanamengi sana yanayowakumba hasa katika kupeana tamu tamu za radha tofauti.

Jumapili, 28 Desemba 2014

DIAMOND PLATNUMZ: AJIWA JUU NA MASHEMEJI "TEAM WEMA SEPETU" ... john de mkali


Kinara wa Team Wema Dougiemasta15 huku instagram amefunguka haya kuhusu Diamond:

kiroho safi kaka shemej wala hatugombani..ujue dai ss sote ni waafrica ndio wepesi kuja na conclusion na

Jumapili, 7 Desemba 2014

Unampenda au unajilazimisha? Jipime kwa maswali haya..john de mkali

Watu wengi wako kwenye uhusiano wa kimapenzi bila kujua kama kweli wanapenda kwa dhati au wanajilazisha? Ili kutambua upendo wako jipime kwa maswali yafuatayo:

Jumapili, 7 Septemba 2014

Madhara ya Kutoshiriki Tendo la Ndoa kwa Muda Mrefu... john de mkali



Na BERNADETHA
Aise, kwa kawaida kama wewe si mgonjwa wa aina yoyote ile, kwa maana ya ugonjwa ku-offset system ya mwili, madhara ya kutofanya tendo la ndoa kwa muda mrefu ni makub

Jumamosi, 6 Septemba 2014

Ang'atwa mdomo na mpenzi wake wakati wanakiss. John de mkali.


John de mkali Tumepata habari kutoka Uingereza ya kusikitisha ya kijana Rhys Culley kumng’ata vibaya midomo mpenzi wake Chanttelle Ward mwenye umri

Alhamisi, 24 Aprili 2014

JOHN DE MKALI; NGUVU YA NYUMBA NDOGO


Seriously wanawake mlioolewa wengi Wenu mnaboa sana sana Aisee, Mnadharau sana Nguvu ya Nyumbandogo, Mnaviona Kama vimalaya flani visivyo Na Bahati. Na kurukia waume Za watu. Sure I am telling you stop this. Never underestimate the power of nyumbandogo.

Jumanne, 22 Aprili 2014

JOHN DE MKALI; DRAKE AMNUNULIA RIHANNA PETE YENYE THAMANI YA SHILINGI MILION 68.

Drake na Rihanna wanaendelea kushibana na penzi lao linachanua huku wakiripotiwa kuwa na mpango wa kuishi pamoja.

Kwa mujibu wa gazeti la Daily Star, chanzo kimoja kimeeleza kuwa Drake amemnunulia Rihanna zawadi ya pete ya almasi yenye rangi ya njano yenye thamani ya $42,000 (sawa na 68,712,000/-).

Ijumaa, 21 Machi 2014

john de mkali. wolper lazima niolewe nje ya nchi

Na Hamida Hassan

STAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper ameibuka na kudai kuwa, atafanya kila njia ili aolewe na mwanaume wa nje ya nchi na siyo Wabongo ambao hawathamini mastaa.

Jumatano, 26 Februari 2014

John de mkal "Jinsi ya kupenda kwa vitendo"

"Jinsi ya kupenda kwa vitendo"
Kama ilivyo mambo mengine kuwa “affection” ni swala la kujifunza, baadhi ya wanaume waliokuzwa/kulia kwenye jamii yenye mfumo Dume (Waafrika kwa ujumla) huwa hawajui kuonyesha hilo hitaji, embu tuliite