Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo michezo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo michezo. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 14 Agosti 2017

Cristiano Ronaldo apewa kadi nyekundu mechi ya El Clasico-john_de_mkali



Haki miliki ya picha Reuters
Image caption Cristiano Ronaldo alikosa mechi nyingi za kujiandaa kwa msimu baada ya kuchezea Ureno Kombe la Mabara
Cristiano Ronaldo alifunga bao lakini baadaye akafukuzwa uwanjani huku Real Madrid wakilaza Barcelona 3-1 katika Super Cup ya Uhispania, mechi ya mkondo wa kwanza.
Gerard Pique alijifunga kutoka kwa krosi ya Marcelo kabla ya Lionel Messi kusawazisha kupitia mkwaju wa penalti.

Jumamosi, 26 Julai 2014

john de mkali; RATIBA YA FIESTA 2014 IMETOKA YAAAN NI SHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEDER

fiestaaFiesta ni tamasha linalowakutanisha wasanii mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania kwenye msimu wa mafanikio pamoja na mashabiki wao kila mwaka ambapo kwa mwaka huu kuna mikoa kadhaa imeongezeka.

john de mkali; Kiiza, Okwi, Twite, Niyonzima, nani kumpisha mbrazil Genilson Santos ‘Jaja’ Yanga?

kiizaKuwasili kwa wabrazil wawili katika klabu ya Yanga kumeweka rehani ajira za wachezaji Emmanuel Okwi, Hamis Kiiza, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima kwasababu mmoja wao

Ijumaa, 25 Aprili 2014

john de mkali; MISS DAR CITY CENTER WAMEANZA MAZOEZI KWA NGUVU ZOTE.

 Kile kitongoji cheje nguvu kubwa katika shindano la miss tanzania miss  dar city center... kimeanza mazoezi jana katika ukumbi wa New Maisha Club Dar es

Jumatano, 23 Aprili 2014

john de mkali; HISA ZA MAN U ZAPANDA DAU

Wakati kocha Sir Alex Ferguson alipostaafu kama meneja wa Manchester United mwezi wa tano mwaka jana, hisa za klabu hiyo kwenye soko la hisa la New York thamani yake

JOHN DE MKALI; HUYU NDIE COCHA MPYA WA MAN U

Kutokana na kutofanya vizuri chini ya uongozi wake David Moyes hatimaye leo April 22

JOHN DE MKALI; MANCHESTER UNITED YAMTIMUA NA KUMRUSHIA VIRAGO DAVID MOYES


Kocha David Moyes ameondolewa rasmi kwenye majukumu yake ya ukocha katika klabu ya Manchester United. Taarifa rasmi ya klabu hiyo imetolewa kupitia mtandao wa Twitter unaweza kuicheki hapo chini……

JOHN DE MKALI; DAVID MOYES KUACHISHWA KAZI MUDA WOWOTE KUANZIA LEO

Vyombo vya habari vya Uingereza, likiwemo Mail on Sunday vimeripoti kuwa David Moyes ataachishwa kazi wiki chache zijazo na kwamba anaweza kuachiswa hata leo au kesho

Jumanne, 22 Aprili 2014

JOHN DE MKALI; TAULO LA IVO MAPUNDA LAZUA KIZAAZAA.

Katika mchezo wa Simba na Yanga Leo Ambao wametoka droo kwa kufungana moja kwa moja palitokea kituko ambacho kimewaacha wengi huo...Kama Kawaida yake Ivo Mapunda akiwa langoni Huwa anakuwa na Taulo kubwa Jeupe la kujifutia Jasho Ambalo hulininginiza Kwenye Nyavu za Goli

Ijumaa, 21 Machi 2014

john de mkali. man u lazima imfukuze DAVD MOYES

Manchester United lazima imtimue David Moyes mwishoni mwa msimu huu. David Moyes hana uwezo wa kuiongoza Manchester United kuendeleza mazuri ya aliyemrithi na kuipeleka timu kwenye kilele cha mafanikio,

john de mkali. YANGA YAPATA AJALI

Kikosi cha Yanga SC kimepata ajali baada ya basi lao kutumbukia mtaroni katika eneo la Mikese mkoani Morogoro.

Jumatano, 5 Machi 2014

John de mkali; Hiki ndio kikosi cha taifa stars kitakacho cheza na namibia leo

stars4Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo usiku wa saa 3 kwa saa za Afrika Mashariki inaingia uwanjani huko Windhoek kupambana na timu ya taifa ya Namibia katika mchezo wa kirafiki.

Jumamosi, 1 Machi 2014