Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo habari za siasa. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo habari za siasa. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 12 Agosti 2017

Breaking News: RC Makonda Agoma Kuomba Msamaha Waandishi wa Habari--- john_de_mkali




Breaking News: RC Makonda Agoma Kuomba Msamaha Waandishi wa Habari
Katika mkutano uliondaliwa na jukwaa la wahariri Tanzania Jijini Dar es salaam kati ya wahariri na Wandishi wa habari, Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ametanka hadharani kuwa hatoomba msamaha na wala haitakuja kutokea.

Alhamisi, 17 Novemba 2016

Wanahabari Watimuliwa kwa Bunduki Kesi ya Lema, Mahakama Yalionya Jeshi la Polisi. john de mkali

lemaArusha: Wakati askari polisi saba watatoa ushahidi mahakamani katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, Mahakama imetoa onyo kwa askari Polisi na Magereza wanaowasumbua waandishi wa habari na wananchi.

Jumapili, 7 Septemba 2014

Bunge la katiba linaelekea pabaya..... john de mkali


Kuna dalili hali si shwari ndani ya Bunge Maalumu la Katiba baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zan

Ijumaa, 25 Aprili 2014

Alhamisi, 24 Aprili 2014

JOHN DE MKALI; SITTA MATUSI HAYAWEZI KUTUPA KATIBA BORA..LEO HII KILA ANAYESIMAMA ANATUKANA

Tumekuwa waoga sana hata tunaogopa kujadiliana ukweli, kila mtu anaogopa. Hii inaletwa na tatizo kubwa la uchumi, uhakika wa ajira, kazi na biashara za kujuana, elimu mbovu isiyoandaa watoto wetu kujitegemea.

john de mkali; MAIGE "KUWA NA SEREKALI TATU TANZANIA ITAINGIA KATIKA MAAJABU YA DUNIA"

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Almas Maige amesema endapo wajumbe wa Bunge hilo watapitisha muundo wa Serikali tatu, nchi itaingia katika kitabu cha maajabu ya dunia cha Guiness Book of Records.

Jumatano, 23 Aprili 2014

john de mkali; SITTA AIFUATA UKAWA ZANZIBAR KUNUSURU BUNGE

Wakati viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakiweka kambi Zanzibar, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana naye alitumia siku nzima visiwani humo akikutana na baadhi ya viongozi wa Serikali, katika kile kinachotafsiriwa kuwa kulinusuru Bunge hilo.

john de mkali; MANENO YA LUKUVI YATIMIA CHADEMA NAYO IMEINGIA KATIKA MTEGO

Hapa kuna ajenda za siri ukweli mchungu ni huu hapa na nitaendelea kuwaletea siku hadi siku hata kama ni mchungu lakini ndio dawa sasa. UKAWA sasa imeingia kwenye mtego mzito wa UAMSHO na upande wa pili kuna taarifa za siri mtoto wa Sultan wa Oman alikutana mara kwa mara na Sharif Hamad Uingereza kuhusu kuipa Zanzibar mamlaka kamili na ameapa kuisaidia kifedha na kimbinu na pia wameahidiwa mengine mengi, hapa ni pakuchunguza sana tena kiintelejensia haswa. 

Jumamosi, 16 Novemba 2013