Udaku Special Kutoka Insta: Leo nimepitia ukurasa wa Malkia wa Insta nikakutana na Picha hiyo ya Wema Akiwa ameegemea gari aliyopewa kama zawadi na Martin Kadinda siku ya Birthday yake huku akiwa amekibinua cha chini ya mgogo ..Baadhi ya watu wamemsifia na wengine kujaribu kumshauri ..Soma Comments hapo chini kutoka ukurasa huo :
BLOG HII NI KWA MATUKIO NA HABARI ZA NDANI NA NJE YA NCHI,SKENDO, MAHUSIANO, VITUKO, AFYA NK kama una habari piga 0742370795
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo mastaaTZ. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo mastaaTZ. Onyesha machapisho yote
Alhamisi, 19 Februari 2015
Picha ya Wema Sepetu Aliyojibinua Tako Yaleta Vijimaneno, Wengi Wamtaka Aache Maisha ya Maigizo ..Soma Hapa john de mkali
Udaku Special Kutoka Insta: Leo nimepitia ukurasa wa Malkia wa Insta nikakutana na Picha hiyo ya Wema Akiwa ameegemea gari aliyopewa kama zawadi na Martin Kadinda siku ya Birthday yake huku akiwa amekibinua cha chini ya mgogo ..Baadhi ya watu wamemsifia na wengine kujaribu kumshauri ..Soma Comments hapo chini kutoka ukurasa huo :
Jumapili, 28 Desemba 2014
Jumapili, 7 Desemba 2014
Ijumaa, 5 Septemba 2014
Jumamosi, 26 Julai 2014
Jumamosi, 31 Mei 2014
JOHN DE MKALI; HIVI NDIVYO MSANII RECHO NA MWANAE WATAKAPO ZIKWA.
RECHO: Hapa ndipo atakapo anza siku yake ya kwanza leo kwenye makazi yake mapya mbinguni. Shimo dogo ni kaburi la mtoto wake aliyefariki muda mfupi
Jumamosi, 24 Mei 2014
john de mkali; “Tunapendana sana na Hunter,hatuwezi kuachana kwa mipango ya binadamu” SNURA
MAMAA Majanga, Snura Mushi amekiri kutoka katika uvungu wa moyo wake kuwa amedhibitiwa vilivyo na penzi la jamaa anayetoka naye kwa sasa aitwaye DJ Hunter hivyo hawezi kuachika.
john de mkali; “Nimebanwa na kazi,ndio maana nimeshindwa kuja kwenye msiba wa Kuambiana…” LULU
STAA wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amedaiwa kuukacha msiba wa aliyekuwa nguli wa filamu za Kibongo, Adam Philip Kuambiana na kujitetea kuwa alibanwa na majukumu.
john de mkali; Gabo apata ajali mbaya ya gari….!!
MWIGIZAJI wa Bongo Movies, Salim Ahmed ‘Gabo’ amepata ajali mbaya ya gari maeneo ya Kiwalani jijini Dar.Kwa mujibu wa chanzo makini, Gabo aliyekuwa katika gari binafsi, aligongana na gari lingine na kupata jeraha mguuni hivyo kulazimika kulazwa kwa takriban wiki tatu kisha kuruhisiwa mwishoni mwa wiki iliyopita.
Akizungumza na paparazi wetu baada ya kutoka hospitali, Gabo aliyeitendea haki Sinema ya Majanga ya Mahsein Awadh ‘Dk Cheni’, alieleza mazingira ya ajali.
john de mkali; SOMA HAPA ILI KUJUA HISTORIA NZIMA YA MAISHA YA WEMA SEPETU
Taja wasichana wote wa Bongo Movies wanaotamba Tanzania, usipoliweka jina la Wema Sepetu orodha haijakamilika. Wema Sepetu ni supastaa asiyefutika kwenye vichwa vya habari vya magazeti ya udaku na websites/blogs. Mfahamu zaidi kwa undani
Ijumaa, 25 Aprili 2014
john de mkali; CHUCHU NA RAY KAMA KIM NA KANYE;

JOHN DE MKALI; WEMA AJUTA KUMDHAMINI KAJALA

KAMA kuna kitu kinakukwaza ndani ya moyo wako, siku zote ukikaa nacho kitazidi kukuumiza lakini ukiamua kumtafuta mtu ambaye umeshibana naye na ku
Alhamisi, 24 Aprili 2014
john de mkali; linex chupuchupu kutwangwa risasi.
JOHN DE MKALI; KADINDA AMKUMBUKA JACK.
Jumatano, 23 Aprili 2014
john de mkali; MASTAA WA KIKE WALIODATE NA ALIKIBA
Ali kiba ni mmoja wa wanamuziki walio kimya sana kwenye upande wa kuongelea mambo yake binafsi, haswa kimahusiano, au hata kujitangaza kumiliki kitu kingine chochote cha thamani kama
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)






