Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule 'Recho' (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam.
Bunge mjini Dodoma na maeneo mengine nchini, kutokana na kile kilichoelezwa kwamba harusi hiyo ilipangwa kuwa ya kifahari ikitarajiwa kutumia Sh96 milioni.
Tapeli Sugu aliyejulikana kwa Jina la Ally Mwinyi Kutoka Vikindu-Pwani aliyekamatwa Parking za Madereva wa Wabunge-Dodoma akiwa chini ya Ulinzi tayari kwa Kupelekw
UGONJWA wa homa ya dengue yaani “dengue fever” umeingia jijini Mwanza ambapo mgonjwa wa kwanza ameripotiwa kulazwa hospitali ya mkoa, Sekou Toure. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Valentino Bangi amehibitisha kuingia ugojwa huo ndani ya mkoa wake.
Kile
kitongoji cheje nguvu kubwa katika shindano la miss tanzania miss dar
city center... kimeanza mazoezi jana katika ukumbi wa New Maisha Club
Dar es
Mtoto
Samir mkazi wa mtaa wa Langoni kata ya Miembeni,akiwa amefungwa kamba
katika mguu wake wa kushoto huku upande mwingine ukiwa umefungwa katika
chuma kizito kilichopo jirani na mlango.
Taxi ambayo nayo ilisababishiwa ajari ikiwa katika eneo la tukio, huku
askari polisi wakilinda usalama wa mali za abiria na baadhi ya vitu
katika eneo la tuk
io.(P.T).
Basi
la abiria la Luhuye Express lenye namba za usajili T 410 AWQ baada ya
kuacha njia na kugonga nyumba katika Kijiji cha Yitwimila 'A', wilayani
Busega, Mkoa wa Simiyu jana asubuhi.
Dar es Salaam. Last week’s “robbery” at
Barclays Bank’s Kinondoni branch, where armed gangsters reportedly
grabbed Sh300 million, was faked, The Citizen can authoritatively
report. Impeccable sources close to the ongoing
investigation into the incident confided in The Citizen that the “raid”
by three men was planned and executed to cover up the theft of tens of
millions of shillings that had previously taken place at the branch.
Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu imesema haina muda wa kujibu porojo zilizotolewa na Askofu wa kanisa la Full Gospel Fellowship, Zachary Kakobe kwani ina kazi kubwa ya kuwatumikia watanzania.
Kipindi cha Tusker Project Fame ambacho ni kipindi kinachopigiwa mfano kama American Idols ni kipindi kinachokuza talanta za wasanii wapya na kimefanikiwa kuchezwa kwa misimu mitano kwa mafanikio.