BLOG HII NI KWA MATUKIO NA HABARI ZA NDANI NA NJE YA NCHI,SKENDO, MAHUSIANO, VITUKO, AFYA NK kama una habari piga 0742370795
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo mastaa wa nje. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo mastaa wa nje. Onyesha machapisho yote
Ijumaa, 5 Septemba 2014
Jumamosi, 24 Mei 2014
Jumamosi, 26 Aprili 2014
john de mkali; davido aonesha jeuri ya pesa anunua mkoko wa mwaka 2014
Show za kimataifa anazofanya Davido na
utajiri wa familia yake unamweka kwenye nafasi nzri na kupata kila
atakacho kwenye maisha. Ni Hit maker mkubwa Africa kwa
Ijumaa, 25 Aprili 2014
JOHN DE MKALI; TAARIFA KUHUSU ALBUM MPYA YA MICHAEL JACKSON
Ikiwa Imepita kama Mwezi mmoja toka
taarifa kuwa kuna album ya Mpya ya Michael Jackson inaandaliwa
itakayoitwa Xscape, Kwa sasa imetolewa taarifa rasmi kwamba
Alhamisi, 24 Aprili 2014
JOHN DE MKALI; MKE WA PETER OKOYE, LOLA OMOTAYO AJIBU SHUTUMA ZA KUSABABISHA UGOMVI WA P-SQUARE
Wakati mashabiki wa kundi la muziki
linaloiwakilisha vizuri Afrika kidunia P-Square kutoka Nigeria
wanaendelea kuwaombea ndugu hao wamalize tofauti zao, mke wa Peter
Jumatano, 5 Machi 2014
Jumamosi, 1 Machi 2014
John de mkali RIHANNA NA DRAKE SI SIRI TENA WWENYEWE WAJIACHIA BILA UOGA...
Drake alikuwa Paris kwa ajili ya show lakini mapaparazi wamejua kwamba Rihanna na Drake walikuwa wana-hang out pamoja weekend iliyopita sehemu mbalimbali na kupata dinner kwenye mgahawa maarufu wa L’Avenue.
Jumapili, 24 Novemba 2013
Jumatatu, 18 Novemba 2013
Diamond, ahudhuria harusi ya Peter w P,SQUARE
Pichani ni diamond platnum akiwa na bwana harusi Peter wap square pale walipokutana lagos nigeria kwenye harusi ya peter. Diamond sahivi yuko nigeria kwa ajiri ya utengenezaji wa video yake ya My number one remix aliyomshirikisha msanii kutoka huko huko nigeria anaitwa Davido nathani tutegemee mambo makali kutoka kwa diamond.
Ijumaa, 15 Novemba 2013
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)








