Jumamosi, 26 Novemba 2016

Tecno wameungana na Jumia kukupa ofa ya BlackFriday, Changamka ujishindie Vocha za Chakula. john de mkali

Tecno wanakuletea ofa  ya #BlackFriday kwa kushirikiana na Jumia ili kuhakikisha unafurahia kuwa mteja wa bidhaa za kampuni hizi mbili kwa muda mrefu. Wateja watafaidika kwa njia mbalimbali kupitia ushirikiano huu kuanzia kwenye huduma mpaka zawadi mbalimbali zitakazotolewa.

Alhamisi, 17 Novemba 2016

Wanahabari Watimuliwa kwa Bunduki Kesi ya Lema, Mahakama Yalionya Jeshi la Polisi. john de mkali

lemaArusha: Wakati askari polisi saba watatoa ushahidi mahakamani katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, Mahakama imetoa onyo kwa askari Polisi na Magereza wanaowasumbua waandishi wa habari na wananchi.

Faida 17 za Kufanya Mapenzi Salama Kwa Afya Yako. john de mkali

KujamianLakini, kuna
a (ama tendo la ndoa) ni moja ya mambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Ni ukweli usiofichika kwamba wengi wetu tungependa kuwa na mwenza ambaye mnaridhishana katika tendo la ndoa. Si hivyo tu, bali tendo hili huleta maelewano katika uhusiano wowote ule.

Unapenda Kufanya Mapenzi; Style 6 Za Kuifundi za Kumkuna Mpenzi Wako..! john de mkali

 “Ndugu wasomaji wangu, katika pitapita nyingi katika mitandao tofauti nikakutana na habari njema kama hii, nikizingatia pia wasomaji wengi hupenda sana elimu hii nikaamua kuchukua nafasi hii kuhakikisha unafikiwa na uhondo huu, napenda kukushirikisha kwani wengi waliopo katika mahusiano wanamengi sana yanayowakumba hasa katika kupeana tamu tamu za radha tofauti.

WhatsApp Video Call Tayari; La Kufanya Kuiwezesha Simu Yako. john de mkali

Hivi sasa mnamo tarehe ya jana 15/11/2016 simu nyingi zilipata updates mpya inayokuwezesha kupiga simu ya video kupitia WhatsApp.
whatsapp-video-calls
Mmiliki wa mtandao huo Bw. Mark Zucherberg kupitia ukurasa wake wa facebook aliandika kuwa “…sasa tunawaletea video call kupitia whatsapp, ikiwa simu ya sauti ya kawaida ilikuwa kwa haraka zaidi na ombi