Hii ni caption ya Diamond kwenye hiyo picha hapo juu akiwa Dallas nchini Marekani kuhudhuria tuzo za Afrimma.
******************************
******************************
Staa wa bongoflevani Nay wa Mitego yuko nchini Kenya kufanya video yake mpya ambayo ameshea moja ya picha ya utengenezwaji wake kama unavyoona hapa chini…
******************************
Saa kadhaa baada ya kusambaza single zake mbili mpya kwenye Radio Stations mbalimbali Tanzania, mwimbaji Ali Kiba amepost hii kwenye instagram na kuambatanisha na hiyo caption chini yake.
******************************
Ifuatayo ni TBT ya CMB Prezzo kutoka Kenya.
******************************
Jokate yuko nchini Kenya ambako kwa July 25 pekee ameonekana akihojiwa kwenye vyombo viwili vya habari kama alivyopost hapa chini akiwa na Mtangazaji William Tuva wa Citizen TV/Radio.
******************************
Hapa chini ni meneja wa kundi la Tiptop Connection ambae pia ni meneja wa Diamond Platnumz Babu Tale ambae ameshafika Marekani na Diamond kuhudhuria tuzo za AFRIMMA.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni