BLOG HII NI KWA MATUKIO NA HABARI ZA NDANI NA NJE YA NCHI,SKENDO, MAHUSIANO, VITUKO, AFYA NK kama una habari piga 0742370795
Jumatatu, 14 Agosti 2017
Cristiano Ronaldo apewa kadi nyekundu mechi ya El Clasico-john_de_mkali
Cristiano Ronaldo
alifunga bao lakini baadaye akafukuzwa uwanjani huku Real Madrid
wakilaza Barcelona 3-1 katika Super Cup ya Uhispania, mechi ya mkondo wa
kwanza.
Gerard Pique alijifunga kutoka kwa krosi ya Marcelo kabla ya Lionel Messi kusawazisha kupitia mkwaju wa penalti.Jumamosi, 12 Agosti 2017
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)