Alhamisi, 17 Novemba 2016

MWANDISHI WA HABARI MCHAFU KULKO WOTE. john de mkali

Raphael Tenthani inasemekana kuwa ndiye mtangazaji mchafu zaidi kutokea duniani
Raphael mara zote utakazo kutana nae huwezi ukamkuta nadhifu , mara kwa mara utamkuta amevaa nguo zilizo chakaa na muda mwingine nguo zenye matobo au viraka

Mwanamke Subiri Uvuliwe, Usivue Mwenyewe. john de mkali

Kuna tabia fulani kwa baadhi ya wanawake mnapokua faragha kukimbilia kuvua nguo, badala ya kusubiri kuvuliwa na mpenzi wake.

Chereko Za Wimbo Wa SALOME Zamliza Saida. john de mkali

john de mkali
Anga la burudani nchini hivi sasa lipo kwenye msisimko wa tenzi ya Wasanii Diamond Platnumz na Raymond ambao wameachia songi la Salome, ambalo ni marejeo ya songi pendwa lililloimbwa mwaka 2000 na dada yetu wa Kihaya, Saida Karoli, liitwalo ‘Maria Salome’ almaarufu ‘Chambua kama karanga’..

Ijumaa, 19 Juni 2015

BREAKING NEWSssssss... Trafik agongwa na kufa papo hapo... john_de_mkali

Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari la mbuga za wanyama (tourism).
Ni baada ya dereva kusimamishwa na matrafik akakataa, ndipo
Trafiki wakapiga simu mbele, na alipofika
akakutwa askari wameweka kizuizi cha gar la polisi lakini hakusimama na ad
akawagonga. matrafik watatu wamepoteza maisha

Jumatano, 27 Mei 2015

Dizain hii beyonce anamchokoza mungu.. john de mkali


Mwanamuziki na mke wa jay z beyonce amewashangaza baadhi ya watu. Hii ni baada ya kuanzisha kanisa lake na kujiita kua yeye ndie yesu na mungu.


kanisa hilo litaanza kazi yake mapema mwaka huu na litaitwa National church of bey


na biblia yake ni tofauti na nyingne.



tuachie maoni yako.