Jumamosi, 26 Julai 2014

JOHN DE MKALI.Yule rubani wa miaka 17 alietangaza kupaa na ndege nchi 15 amepata ajali na kufariki.

Screen Shot 2014-07-24 at 9.14.14 PMIlikua taarifa kubwa sana pale mtoto rubani mwenye umri wa miaka 17 alipotangaza maamuzi ya kusafiri na ndege ndogo ya injini moja kwenye nchi mbalimbali duniani ikiwa ni ndani ya Mabara matano, vituo 25 ndani ya nchi 15 kwenye siku 30.

john de mkali; RATIBA YA FIESTA 2014 IMETOKA YAAAN NI SHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEDER

fiestaaFiesta ni tamasha linalowakutanisha wasanii mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania kwenye msimu wa mafanikio pamoja na mashabiki wao kila mwaka ambapo kwa mwaka huu kuna mikoa kadhaa imeongezeka.

john de mkali; Kiiza, Okwi, Twite, Niyonzima, nani kumpisha mbrazil Genilson Santos ‘Jaja’ Yanga?

kiizaKuwasili kwa wabrazil wawili katika klabu ya Yanga kumeweka rehani ajira za wachezaji Emmanuel Okwi, Hamis Kiiza, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima kwasababu mmoja wao

Jumatano, 9 Julai 2014

john de mkali; Ngono kinyume na maumbile

Mtafiti Mwanasayansi Irine Mremi, kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binaadamu nchini Tanzania (NIMR) ambaye aliwasilisha ripoti hiyo kwa niaba ya watafiti wenzake wa NIMR. *** BAADHI ya wanawake kutoka katika Wilaya zaKinondoni, Tanga, Makete na Siha, wamekiri kufanya ngono kinyume na maumbile.

john de mkali; New video mpya ya shetta na diamond tazama