Jumamosi, 1 Machi 2014

JOHN DE MKALI; WEMA SEPETU"NAPENDA WANAUME WEUSI NA NI KWELI NIPO NA DIAMOND"


Mwanadada Wema Sepetu ambaye pia aliwahi kuwa Miss Tanzania 2006 ambaye kwa sasa anaendesha kampuni

john de mkali; YANGA YAUDUWAZA ULIMWENGU, YAWAKUNG'UTA WAARABU

Mabigwa wa ligi kuu Tanzania bara Young African Sports(YANGA) leo imeichapa Mabigwa wa Misri na Caf Al

JOHN DE MKALI; Baada ya ukimya malow kashuka na hii.

Huu ni wimbo mpya wa Marlaw ambao rasmi kauachia leo maalum kwa mashabiki wake wanaofatilia muziki wake,marlaw kwa sasa ni baba wa mtoto mmoja wa kiume

John de mkali; wimbo wa shetta ft diamond

Ni ngoma nyingine sheta kamshirikish diamond platnum inaitw KEREWA chini ya produser SHEDDY CLEVER hii ni audio yake isikilize.

John de mkali RIHANNA NA DRAKE SI SIRI TENA WWENYEWE WAJIACHIA BILA UOGA...

Drake alikuwa Paris kwa ajili ya show lakini mapaparazi wamejua kwamba Rihanna na Drake walikuwa wana-hang out pamoja weekend iliyopita sehemu mbalimbali na kupata dinner kwenye mgahawa maarufu wa L’Avenue.