BLOG HII NI KWA MATUKIO NA HABARI ZA NDANI NA NJE YA NCHI,SKENDO, MAHUSIANO, VITUKO, AFYA NK kama una habari piga 0742370795
Jumamosi, 1 Machi 2014
john de mkali; YANGA YAUDUWAZA ULIMWENGU, YAWAKUNG'UTA WAARABU
JOHN DE MKALI; Baada ya ukimya malow kashuka na hii.
Huu ni wimbo mpya wa Marlaw ambao rasmi kauachia leo maalum kwa mashabiki wake wanaofatilia muziki wake,marlaw kwa sasa ni baba wa mtoto mmoja wa kiume
John de mkali; wimbo wa shetta ft diamond
Ni ngoma nyingine sheta kamshirikish diamond platnum inaitw KEREWA chini ya produser SHEDDY CLEVER hii ni audio yake isikilize.
John de mkali RIHANNA NA DRAKE SI SIRI TENA WWENYEWE WAJIACHIA BILA UOGA...
Drake alikuwa Paris kwa ajili ya show lakini mapaparazi wamejua kwamba Rihanna na Drake walikuwa wana-hang out pamoja weekend iliyopita sehemu mbalimbali na kupata dinner kwenye mgahawa maarufu wa L’Avenue.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)



