Jumatano, 26 Februari 2014

John de mkal "Jinsi ya kupenda kwa vitendo"

"Jinsi ya kupenda kwa vitendo"
Kama ilivyo mambo mengine kuwa “affection” ni swala la kujifunza, baadhi ya wanaume waliokuzwa/kulia kwenye jamii yenye mfumo Dume (Waafrika kwa ujumla) huwa hawajui kuonyesha hilo hitaji, embu tuliite

Jumapili, 16 Februari 2014

AJALI; WATATU WAPOTEZA MAISHA....... TAHADHARI PICHA ZINATISHA.

Watu watatu akiwemo dereva wa gari ndogo aina ya ford fiesta nyeusi na wanawake wawili wamepoteza maisha katika ajali hiyo mbaya iliyohusisha gari dogo aina ya ford fiesta nyeusi HXP1538 na lori aina ya mercedse 1318

Tukio hilo la kusikitisha lilitokea katika mji wa Crateus jimbo la kaskazini mashariki nchini Brazili lililipoti kuwa ndani ya gari hiyo Ford fiesta kulikuwemo na watu watano wanaume watatu na wanawake wawili.

Jumapili, 29 Desemba 2013

bajaji yagongana na gari


 Ajali iliohusisha gari moja lenye namba za usajili T512 BSA na bajaji yenyenamba za usajili T654 CBT ambapo ilitokea juzi maeneo ya sinza polisi mabatini. Katika ajali hiyo hakuna aliyekufa ila ilijeruhi mmoja

Jumamosi, 7 Desemba 2013

MABASI YA MWENDOKASI YAWASILI NCHINI TAZAMA PICHA.

Mabasi ya mwendo kasi 2014 kimara kivukoni
Mabasi yaendayo kasi limewasili nchini na kuanza kufanya majaribio katika barabara zilizokamilika huku

Ijumaa, 6 Desemba 2013

RAISI WA ZAMANI WA AFRIKA KUSINI, NELSON MANDELA AFARIKI DUNIA

Rahisi wa zamani wa Afrika kusini Nelson Mandela afariki dunia huko Johanesburg Afrika kusini usiku wa wa jana alhamisi (desemba 5) akiwa na umri wa miaka 95