Basi ya kampuni ya LA Power Tool
lililokuwa linatokea nchini Zambia kuja Tunduma limepata ajali mbaya na
kuua abiria wote, ni abiria wawili tu ndio waliotoka salama, chanzo cha
ajali bado hakijajulikana.
BLOG HII NI KWA MATUKIO NA HABARI ZA NDANI NA NJE YA NCHI,SKENDO, MAHUSIANO, VITUKO, AFYA NK kama una habari piga 0742370795
Alhamisi, 17 Novemba 2016
MWANDISHI WA HABARI MCHAFU KULKO WOTE. john de mkali
Raphael Tenthani inasemekana kuwa ndiye mtangazaji mchafu zaidi kutokea duniani
Raphael mara zote utakazo kutana nae huwezi ukamkuta nadhifu , mara
kwa mara utamkuta amevaa nguo zilizo chakaa na muda mwingine nguo zenye
matobo au virakaMwanamke Subiri Uvuliwe, Usivue Mwenyewe. john de mkali
Kuna tabia fulani kwa baadhi ya wanawake mnapokua faragha kukimbilia kuvua nguo, badala ya kusubiri kuvuliwa na mpenzi wake.
Chereko Za Wimbo Wa SALOME Zamliza Saida. john de mkali
john de mkali
Anga la burudani nchini hivi sasa lipo
kwenye msisimko wa tenzi ya Wasanii Diamond Platnumz na Raymond ambao
wameachia songi la Salome, ambalo ni marejeo ya songi pendwa
lililloimbwa mwaka 2000 na dada yetu wa Kihaya, Saida Karoli, liitwalo
‘Maria Salome’ almaarufu ‘Chambua kama karanga’..
Ijumaa, 19 Juni 2015
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
