Alhamisi, 17 Novemba 2016

Ajali ya basi la LA POWER TOOL. john de mkali

Basi ya kampuni ya LA Power Tool lililokuwa linatokea nchini Zambia kuja Tunduma limepata ajali mbaya na kuua abiria wote, ni abiria wawili tu ndio waliotoka salama, chanzo  cha ajali bado hakijajulikana.

MWANDISHI WA HABARI MCHAFU KULKO WOTE. john de mkali

Raphael Tenthani inasemekana kuwa ndiye mtangazaji mchafu zaidi kutokea duniani
Raphael mara zote utakazo kutana nae huwezi ukamkuta nadhifu , mara kwa mara utamkuta amevaa nguo zilizo chakaa na muda mwingine nguo zenye matobo au viraka

Mwanamke Subiri Uvuliwe, Usivue Mwenyewe. john de mkali

Kuna tabia fulani kwa baadhi ya wanawake mnapokua faragha kukimbilia kuvua nguo, badala ya kusubiri kuvuliwa na mpenzi wake.

Chereko Za Wimbo Wa SALOME Zamliza Saida. john de mkali

john de mkali
Anga la burudani nchini hivi sasa lipo kwenye msisimko wa tenzi ya Wasanii Diamond Platnumz na Raymond ambao wameachia songi la Salome, ambalo ni marejeo ya songi pendwa lililloimbwa mwaka 2000 na dada yetu wa Kihaya, Saida Karoli, liitwalo ‘Maria Salome’ almaarufu ‘Chambua kama karanga’..

Ijumaa, 19 Juni 2015

BREAKING NEWSssssss... Trafik agongwa na kufa papo hapo... john_de_mkali

Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari la mbuga za wanyama (tourism).
Ni baada ya dereva kusimamishwa na matrafik akakataa, ndipo
Trafiki wakapiga simu mbele, na alipofika
akakutwa askari wameweka kizuizi cha gar la polisi lakini hakusimama na ad
akawagonga. matrafik watatu wamepoteza maisha