Yani kijiji kiliishiwa maeneo ya kujengea makaburi hivyo meya wa kijiji Gerald Lalane akapiga marufuku wanakijiji kufariki dunia kwa kuwa hakuna maeneo ya kuwazikia,yaani kwa kifupi alipiga marufuku kifo kwenye tamko lake mwaka 2008.
BLOG HII NI KWA MATUKIO NA HABARI ZA NDANI NA NJE YA NCHI,SKENDO, MAHUSIANO, VITUKO, AFYA NK kama una habari piga 0742370795
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni