Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Bondeni mkoani Arusha amwagiwa Tindikali....Kosa lake ni kukataa kutangaza JIHAD ambayo ni vita ya silaha dhidi ya Waislamu na wasio Waislamu
3/01/2014 habari za kitaifa
Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Bondeni mkoani Arusha, Mustaph Kiago (49) na mwanaye Khalid Mustapha (10), wamemwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali wakati wakiingia msikitini.
BLOG HII NI KWA MATUKIO NA HABARI ZA NDANI NA NJE YA NCHI,SKENDO, MAHUSIANO, VITUKO, AFYA NK kama una habari piga 0742370795
Jumamosi, 1 Machi 2014
John de mkali; JIDE ADAI TALAKA
UNAWEZA ukakataa lakini ndivyo ilivyotokea, ndoa ya mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteini’ na Mbongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ iliyofungwa miaka 9 iliyopita inadaiwa kuingia kidudu kufuatia mke huyo kuomba aandikiwe talaka, ni Ijumaa Wikienda pekee lenye uthubutu wa kuripoti mkasa wote.
MATATIZO YANAYOSABABISHA MWANAMKE ASIPATE MIMBA
MATATIZO YANAYOSABABISHA MWANAMKE ASISHIKE MIMBA
MWANAMKE kutoshika mimba kumegawanyika katika makundi makubwa mawili. Kwanza ni hali iitwayo ‘primary Infertility’ ambapo mwanamke hana historia ya kupata ujauzito. Pili kuna hali iitwayo ‘Sekondari
MWANAMKE kutoshika mimba kumegawanyika katika makundi makubwa mawili. Kwanza ni hali iitwayo ‘primary Infertility’ ambapo mwanamke hana historia ya kupata ujauzito. Pili kuna hali iitwayo ‘Sekondari
John de mkali; SAKATA ZIMA LA USTAZ JUMA NA MUSOMA NA MSANII PNC HILI HAPA
Baada ya kutimuliwa MTANASHATI msanii PNC arudi mikono nyuma akimuomba boss wake Ostaz Juma arudi tena katika lebo hiyo. Picha hii imeonekana katika account ya facebook ya Ostaz Juma ikisema
John de mkali: HII KALI DAKTARI FEKI MWINGINE AKAMATWA MUHIMBILI
Jana February 25 Uongozi wa hospitali ya taifa muhimbili kwa kushirikiana na maafisa wake wa usalama wamemnasa daktari feki aliyekuwa akiwatapeli fedha wagonjwa na watu mbalimbali wanaofika kwa ajili ya kupatiwa huduma za matibabu katika hospitali hiyo.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)




